SAMATTA AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO TP MAZEMBE KUCHEZA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

TP Mzembe ni klabu ambayo imefanikiwa kuingia fainali ya vilabu bingwa Afrika dhidi ya timu ya USM Algiers kutoka nchini Algeria. Fainali ya kwanza ilipigwa nchini Algeria TP Mazembe wakafanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1, Mtanzania Mbwana Ally Samatta alifunga bao la pili na la ushindi ambalo pia lilimfanya kufikisha mabao sita na kuwa miongoni mwa wachezaji wanaowania kiatu cha ufungaji bora.
TP Mazembe leo walifanya mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa fainali siku ya Jumapili November 81114d2dd-c1ea-4d2a-9527-d97419382bd2Wachezaji wawili wa Tanzania wanaocheza kwenye klabu ya TP Mazembe wamejizolea sifa nyingi kwa kuiwezesha timu hiyo kufika hatua ya fainali. Umebaki muda mfupi watanzania hao kuweza kuandika historia mpya endapo watafanikiwa kuchukua kombe hilo.
Samatta amezungumzia changamoto aliyonayo kuelekea mchezo wa fainali hususan nafasi yake ya kuwania kiatu cha ufungaji bora wa ligi ya mabingwa barani Afrika.

TAFADHALI TUPE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.