dakika 83 za mchezo happy oil na mawenzi fc #mavuno cup kilosa

ligi inayoendelea kutimua vumbi katika viwanja vya azimio wilayani kilosa maarufu kama mavuno cup iliyodhaminiwa kwa tsh milioni 11 imeendelea tena leo katika hatua na robo fainali ambapo wauza mafuta maarufu kama happy oil walimenyana na mawenzi fc kutoka morogoro mjini 
mechi hiyo iliyojaza watazamaji wengi pengine kuzidi mechi zote zilizochezwa tangu ligi hiyo ianze 
happy oil ndio walikua wa kuanza kufunga goli katika dakika ya 23 ya mchezo ambalo halikudumu saana mawezi fc wakasawazisha 
mpaka timu hizo zinaenda mapumziko zikiwa zimefungana goli mojamoja 

kipindi cha pili kilianza ambapo timu hizo zilionyesha kucheza kwa ustad mkubwa mechi hiyo iliyoisha bila kupatika mshindi baada ya mlizi wa kulia wa happy oil shabani  kunawa mpira alipokua akijaribu kuokoa mpira kwa kicha ambapo mwamuzi wa mchezo huo kuamuru ipigwe penati katika dakika ya 83 ambayo ilikatiliwa na wachezaji wa happy oil ampapo wachezaji wa timu hiyo wakamvamia mwamuzi mpaka polisi

waliokuepo uwanjani hapo kuingilia kati na kupelekea mechi hiyo kuisha bila kua na matokeo yasiyofahamika ambapo kamati ya iliyoandaa ligi hiyo kukaa kikao cha dharula na kutoa tamka kwamba happy oil kama hawajakubaliana na maamuzi ya refalii wa mchezo huo ni haki yao kukata lufaa ndani masaa matatu baada mechi kuisha kama zinavyoeleza sheria za mpira wa miguu

TAFADHALI TUPE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.